Afleveringen
-
Kwenye Makala ya wiki hii Stephen Mumbi anazungumza na msani Abdul Sykes kutoka Mbagala Tanzania.
-
Makala ya Nyumba ya sanaa wiki hii inamuangazia msanii wa muziki wa regae Mack El Sambo ambaye kwa zaidi ya miaka ishirini amekuwa akihimiza amani katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, hususan kwenye mji wa Goma katika mkowa wa Kivu Kaskazini. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka ambaye hivi karibuni alitembelea mji wa Goma na kukutana na mwanamziki huyu..
-
Zijn er afleveringen die ontbreken?
-
Katika Nyumba ya sanaa wiki hii Steaven Mumbi akishirikiana na Ruben Lukumbuka ambaye wiki iliyopita alitembelea mji wa Goma ulioko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambako alikutana na mbunifu wa sanaa mbalimbali ikiwemo ubunifu wa kutengeneza viatu bwana Christian Bazika anayetengeneza bidhaa za ngozi mashariki mwa nchi hiyo.
-
Asha Jumbe maarufu White Maria ni Muigizaji aliyejizolea umaarufu akiwa na umri wa Miaka nane tu, sasa ni mtu Mzima aja kivingine kufanya sanaa ya Fimalu za kiswahili,Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumzia safari yake ya Uigizaji.
-
Sanaa ya Muziki imenihitaji kuliko nilivyo ihitaji, ni kauli yake Steven Ibrahim maarufu Eddy Music alipozungumza na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.
-
Msani huyo amesema kuwa alitunga vibao kama bora kushukuru kutokana na changamoto za kimaisha alizokuwa anakabiliwa nazo kipindi fulani katika maisha yake.
-
Mwandishi wetu Steven Mumbi amezungumza na msani wa muziki huu wa Baibuda
-
Makala haya hukuletea historia ya sanaa na wasani barani Afrika.
-
Sam Silver anazungumza naye Steve Mumbi katika makala ya Nyumba ya Sanaa wiki hii.
-
Muziki wa Taarab unashehenezwa na mirindimo ya vyombo kwa kisasa sambamba na Kinanda , Kutana na Chid Boy Mpiga kinanda wa Bendi ya Nakshi Nakshi na Mmiliki wa Bendi hiyo.
-
Sanaa ya muziki wa kizazi kipya.
-
Hospitali ya Inuka iliyo katika Wilaya ya Makambako Mkoani Njombe nchini Tanzania ni moja ya hospital inayotoa huduma ya utengamao kwa walemavu wa viungo na kuibua tabasamu kwa wana wa taifa hili kutoka mikoa mbali mbali nchini humu.
-
Wasani mbali kutoka Afrika walihudhuria tamasha hilo wakiwemo wale wa jamii ya wamaasai kutoka Kenya.
-
Tamasha la sauti za busara
-
Doreen Mashika ni mbunifu kutoka visiwani Zanzibar
-
Steven Mumbi amefanya mahojiano na Rahama Machupa msanii wa nyimbo za taarab nchini Tanzania.
-
Tamasha hilo litafanyika mwezi Februari.
-
Innocent Galinoma anazungumzia maisha ya Kimuziki ya Marekani katika Makala ya Nyumba ya Sanaa
-
Muziki wa Reggae ni miongoni mwa Miziki iliyopata mashiko mapema zaidi ukilinganisha na aina nyingine ya Muziki nchini Tanzania, Innocent Galinoma akiishi nchini Marekani ni miongoni mwa wasanii wa Mwanzo wa Muziki huo nchini Tanzania, Steven Mumbi amezungumza naye katika Makala haya.
- Laat meer zien